Habari
zilizotufikia usiku wa kuakia leo kuwa watu kadhaa wamepoteza maisha
katika ajali mbaya iliyotokea baada ya basi la abiria la Takbir lenye
namba za usajili T 230 BRJ lililokuwa likitokea jijini Dar es Salaam
kwenda Mwanza kugongana na lori eneo la Shelui, kijiji cha Kizonzo
omkoani Singida.
Post a Comment