TANZIA: MCHUNGAJI MTIKILA AFARIKI DUNIA
Mwanasiasa
mashuhuri nchini na Mwenyekiti wa Chama Cha DP Mch.Christopher Mtikila
amefariki dunia na watu wengine watatu kujeruhiwa katika ajali ya gari
iliyotokea katika kijiji cha Msolwa kilichopo Chalinze mkoani Pwani
asubuhi ya leo. Mtikila amekumbwa na mauti hayo wakati akitoka mkoani
Morogoro kwenda Dar es Salaam.
Kwa habari zaidi endelea kufuatilia habari zetu tutakujuza hivi punde.
Kwa habari zaidi endelea kufuatilia habari zetu tutakujuza hivi punde.

Post a Comment