ad

ad

Tazama hapa picha za uzinduzi wa kampeni wa Mh. James Lembeli


"Kahama inatakiwa uwe mji wa biashara unaounganisha  Kenya  Uganda Rwanda na Burundi" Lembeli
Hayo aliyasema Mh. James Lembeli mgombea ubunge wa Kahama kupitia tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA alipokuwa akizinduwa rasimi kampeni Zake jana tar 01/sep/2015




























Uzinduzi huo ulifanyika jana katika viwanja vya CDT mjini kahama 
Powered by Blogger.