MUIGIZAJI LEE NELSON AVAMIA NDEGE YA WACHEZAJI ENGLAND, POLISI WAMSHITUKIA
Mchekeshaji mahiri nchini England, Lee Nelson ameendeleza vituko vyake baada ya kuingilia safari ya timu ya taifa ya England.
Timu hiyo ya taifa ya soka ilikuwa inaondoka
kwenda nchini Marekani kwa ajili ya kambi kabla ya kwenda Brazil kwenye
Kombe la Dunia.
Kombe la Dunia.
Nelson akazuga naye ni kati ya wachezaji, akawa
bize
kinoma kabla ya kushitukiwa.
kinoma kabla ya kushitukiwa.
Steven Gerrard ndiye alianza kushitukia kuhusiana
na
mchekeshaji huyo.
mchekeshaji huyo.
Polisi wakaitwa na kumkokota Nelson, wakamtoa
kando huku akiwa amevaa suti zinazoringana na
wachezaji wa England kabisaa utadhani naye ni mhusika.
kando huku akiwa amevaa suti zinazoringana na
wachezaji wa England kabisaa utadhani naye ni mhusika.
Wakati Fulani aliwahi kuvamia mazoezi ya Man City
lakini kipa Joe Hart akamshitukia.
lakini kipa Joe Hart akamshitukia.
![]() |
GERRARD AKIMSHANGAA |
![]() |
AKITOLEWA Picha za chini zinaonyesha alivyowahi kuvamia mazoezi ya Man City kabla ya kushitukiwa na kutolewa. |
Post a Comment