ad

ad

Video: Dar yasimama kwa muda Lowassa akielekea NEC kuchukua fomu ya urais




Hatimaye mgombea urais kupitia Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Waziri Mkuu mstaafu Edward Ngoyai Lowassa leo amechukua fomu ya kugombea  nafasi hiyo katika Makao Makuu  ya Tume  ya Taifa ya Uchaguzi (NEC).
Awali, mgombea huyo alianzia Makao Makuu ya Chama cha Wananchi (CUF), Buguruni, Dar es Salaam  kisha kuelekea Tume yaTaifa ya Uchaguzi kwa kupitia barabara ya Uhuru, Bibibti Mohamed  hadi Makao Makuu  ya Tume hiyo.
Baada ya hapo, msafara wake ulipititia Barabara ya Ocean Road  kisha Umoja  wa  Mataifa, Ally Hassan Mwinyi hadi   Makao Makuu ya CHADEMA yaliyopo Kinondoni, jijini Dar es Salaam.
Katika msafara huo,  umati  mkubwa  wa  wapenzi  na wakereketwa  wa mgombea huyo walijitokeza  kumsindikiza .
Powered by Blogger.