Makamu wa Rais wa Tanzania Dkt. Mohammed Gharib Bilal.
OFISI ya Makamu wa Rais imekanusha taarifa za kwenye mitandao ya kijamii kuwa Makamu wa Rais wa Tanzania Dkt. Mohammed Gharib Bilal ataongea na vyombo vya habari kuhusu msimamo wake ndani ya serikali na Chama Cha Mapinduzi.
Post a Comment