ad

ad

Madiwani 20 Monduli wabwaga manyanga CCM, wahamia CHADEMA

Madiwani takriban 20 wa CCM Wilayani Monduli (Jimboni kwa Lowassa) wanadaiwa kurudisha kadi za CCM na kutangaza kujiunga na CHADEMA.
-Pia Wenyeviti wengi wa vijiji na vitongoji pamoja na wajumbe wa Serikali za mitaa wamejiunga na CHADEMA.
 
Powered by Blogger.