Muigizaji
marufu na x-girlfriend wa Diamond platnumz, Wema Sepetu amechukua fomu
ya kugombea ubunge wa viti maalum kupitia CCM.
Akiongea na host wa kipindi cha ala za roho cha clouds fm kilichorushwa
hewani tarehe 16 juni 2015 mmiliki huyo wa lebo ya Endless Fame
amethibitisha hilo kwa njia ya simu alipohojiwa.
Je, Utitiri huu wa vijana ndani ya ulingo wa siasa utaleta mabadiliko
chanya kwa taifa mbeleni au ndio wengi wao wanafuata ulaji kwanza?
Shukran.
Kupitia instagram page ya Petit Man
Post a Comment