IYANYA ASEMA BILA MUZIKI ANGEKUWA MFANYABIASHARA
Mwanamuziki kutoka nchini Nigeria, Iyanya.
Lagos Nigeria
TANGU aliposhinda mashindano ya kwanza ya kutafuta mwanamuziki mwenye kipaji ambayo yalitayarishwa na kampuni moja kubwa ya mawasiliano, Inyanya, mwanamuziki wa Nigeria na mtunzi wa wimbo wa ‘Kukere’ amekuwa ‘gumzo la mjini’.

Post a Comment