MAJONZI MSIBANI NYUMBANI KWA KOMBA
...masikitiko na kilio kwa mjane wa marehemu, Bi. Salome Komba
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. William Lukuvi akimfariji mke wa marehemu, Salome komba
....ni kilio na huzuni kubwa kwa Malkia wa Tarabu Khadija Kopa, ambaye alikuwa chini ya Komba katika kikundi cha taarabu cha TOT
Wabunge wa Chadema, Joseph Mbilinyi 'Sugu' (kushoto) na Godbless Lema (kulia) wakizungumza na Mhe. William Lukuvi msibani
(PICHA NA DENIS MTIMA/GPL)
Post a Comment