ad

ad

THT WANATIMIZA MIAKA 10 LEO, WATAFANYA SHOO YA KUFA MTU KUADHIMISHA UKUMBI WA ESCAPE ONE

 
Rachael Mapenzi.



Esterlina Sanga ‘Linah’.
 
Mwasiti Almasi.
 
Amini Mwinyimkuu.
 
Elias Barnabas a.k.a Barnaba.
WASANII kibao waliovumbuliwa katika Jumba la Kukuza na Kuibua Vipaji (THT) leo wanatarajiwa kufanya shoo ya kufa mtu katika kuadhimisha miaka 10 tangu kuanzishwa kwa THT ndani ya Ukumbi wa Escape One.
Miongoni mwa mastaa ambao ni zao la THT ni Mwasiti, Amini, Ditto, Mataluma, Linah, Msami, Recho, Barnaba, Kadjanito na wengine kibao ambapo shoo inatarajiwa kuanza jioni hii.

No comments

Powered by Blogger.