ad

ad

CAMEROOON YAIGONGA IVORY COAST 4-1

 Cameroon imeichakaza Ivory Coast kwa mabao 4-1 katika mechi ya kuwania kucheza Kombe la Maita Afrika.
Baadhi ya wachezaji nyota wa Ivory Coast kama nahodha Yaya Toure, kiungo wa Newcastle, Cheikh Tiote na mshambuliaji wa Swansea, Wilfried Bony walikuwa kwenye kikosi hicho kilichotandikwa.

Bahati nyingine mabya kwa Ivory Coast, beki wake Serge Aurie anayekipiga PSG alilazimika kukimbizwa hospitali baada ya kugongana na mshambuliaji wa Cameroon.
Yaya amesema wanalazimika kushinda mechi zote zilizobaki kuinua upya matumaini ya kucheza michuano hiyo ya Afrika.

No comments

Powered by Blogger.