ad

ad

Alichokisema Mwanamke aliyekua akiishi na Dudubaya kabla ya kumfukuza.

dudu
Idara ya Hekaheka leo ina ishu kuhusu Mwanamke  anayedaiwa kuwa alikua akiishi kinyumba na Dudu baya.
Mwanamke huyo amezungumzia kilichotokea baada ya kitendo cha Dudubaya kufukuzwa na mwanamke huyo kwa sababu mbalimbali alizotaja ikiwemo ubakaji na unyanyasaji.

No comments

Powered by Blogger.