ad

ad

KURA ZILIZOMPA URAIS AVEVA SIMBA

 Rais mteule wa Simba, Evans Aveva amepata kura 1452, mpinzani wake Andrew Tupa kapata 387 na 6 zimeharibika.
Ila taarifa zinasema kura bado zinahesabiwa hivyo kunaweza kuwa na mabadiliko

No comments

Powered by Blogger.