TAMASHA LA KILIMANJARO MUSIC TOUR 2014 LAWAKUNA WAKAZI WA MOSHI
Wakazi wa mji wa Moshi wakifuatilia
tamasha la kwanza la ‘Kilimanjaro Music Tour 2014’ lililofanyika katika
Viwanja vya Chuo Shirikishi cha Ushirika na Biashara (MUCCOBs).
Kilimanjaro Music Tour inadhaminiwa na Bia ya Kilimanjaro Premium Lager.



Wasanii wa kundi la WEUSI toka Arusha wakiwapagawisha kwa burundani wakazi wa mji wa Moshi waliohudhuria katika uzinduzi
wa tamasha la ‘Kilimanjaro Music Tour 2014’ katika Viwanja vya Chuo Shirikishi
cha Ushirika na Biashara (MUCCOBs). Kilimanjaro Music Tour inadhaminiwa na Bia ya Kilimanjaro Premium Lager.

Msanii wa Muziki wa Kizazi Kipya, Young Killer akitoa
burundani kwa wakazi wa mji wa Moshi waliohudhuria katika
uzinduzi wa tamasha la ‘Kilimanjaro Music Tour 2014’ katika
Viwanja vya Chuo Shirikishi cha Ushirika na Biashara (MUCCOBs).
Kilimanjaro Music Tour inadhaminiwa na Bia ya Kilimanjaro Premium Lager.
burundani kwa wakazi wa mji wa Moshi waliohudhuria katika
uzinduzi wa tamasha la ‘Kilimanjaro Music Tour 2014’ katika
Viwanja vya Chuo Shirikishi cha Ushirika na Biashara (MUCCOBs).
Kilimanjaro Music Tour inadhaminiwa na Bia ya Kilimanjaro Premium Lager.
Msanii wa Muziki wa Kizazi Kipya,
Kala Jeremiah akifanya vitu vyake
wakati wa tamasha la kwanza la ‘Kilimanjaro Music Tour 2014’
lililofanyika katika Viwanja vya Chuo Shirikishi cha Ushirika na Biashara (MUCCOBs). Kilimanjaro Music Tour inadhaminiwa na Bia ya Kilimanjaro Premium Lager.

wakati wa tamasha la kwanza la ‘Kilimanjaro Music Tour 2014’
lililofanyika katika Viwanja vya Chuo Shirikishi cha Ushirika na Biashara (MUCCOBs). Kilimanjaro Music Tour inadhaminiwa na Bia ya Kilimanjaro Premium Lager.

Msanii wa Muziki wa Kizazi Kipya, Ney
wa Mitego akitoa
burudani ya aina yake wakati wa tamasha la kwanza la
‘Kilimanjaro Music Tour 2014’ lililofanyika katika
Viwanja vya Chuo Shirikishi cha Ushirika na Biashara
(MUCCOBs). Kilimanjaro Music Tour inadhaminiwa na
Bia ya Kilimanjaro Premium Lager.

burudani ya aina yake wakati wa tamasha la kwanza la
‘Kilimanjaro Music Tour 2014’ lililofanyika katika
Viwanja vya Chuo Shirikishi cha Ushirika na Biashara
(MUCCOBs). Kilimanjaro Music Tour inadhaminiwa na
Bia ya Kilimanjaro Premium Lager.

Wasanii wa Muziki wa Kizazi kutoka
Kundi la Jambo Squad
wakitoa burundani kwa wakazi wa mji wa Moshi waliohudhuria
katika tamasha la kwanza la ‘Kilimanjaro Music Tour 2014’ lililofanyika
katika Viwanja vya Chuo Shirikishi cha Ushirika na Biashara (MUCCOBs). Kilimanjaro Music Tour inadhaminiwa na Bia ya Kilimanjaro Premium Lager.
wakitoa burundani kwa wakazi wa mji wa Moshi waliohudhuria
katika tamasha la kwanza la ‘Kilimanjaro Music Tour 2014’ lililofanyika
katika Viwanja vya Chuo Shirikishi cha Ushirika na Biashara (MUCCOBs). Kilimanjaro Music Tour inadhaminiwa na Bia ya Kilimanjaro Premium Lager.
Msanii wa Muziki wa Kizazi Kipya,
Ommy Dimpoz akitoa
burdani kali kwa wakazi wa mji wa Moshi waliohudhuria katika
tamasha la kwanza la ‘Kilimanjaro Music Tour 2014’ lililofanyika
katika Viwanja vya Chuo Shirikishi cha Ushirika na Biashara (MUCCOBs). Kilimanjaro Music Tour inadhaminiwa na Bia ya Kilimanjaro Premium Lager.
burdani kali kwa wakazi wa mji wa Moshi waliohudhuria katika
tamasha la kwanza la ‘Kilimanjaro Music Tour 2014’ lililofanyika
katika Viwanja vya Chuo Shirikishi cha Ushirika na Biashara (MUCCOBs). Kilimanjaro Music Tour inadhaminiwa na Bia ya Kilimanjaro Premium Lager.

Msanii
wa Muziki wa Kizazi Kipya, Profesa Jay akiwapagawisha
kwa burundani wakazi wa mji wa Moshi waliohudhuria tamasha la kwanza la ‘Kilimanjaro Music Tour 2014’ lililofanyika katika Viwanja vya Chuo
Shirikishi cha Ushirika na Biashara (MUCCOBs). Kilimanjaro
Music Tour inadhaminiwa na Bia ya Kilimanjaro Premium Lager.
kwa burundani wakazi wa mji wa Moshi waliohudhuria tamasha la kwanza la ‘Kilimanjaro Music Tour 2014’ lililofanyika katika Viwanja vya Chuo
Shirikishi cha Ushirika na Biashara (MUCCOBs). Kilimanjaro
Music Tour inadhaminiwa na Bia ya Kilimanjaro Premium Lager.
Wasanii nguli wa Muziki wa Kizazi
Kipya, AY na MwanaFA
wakiwapagawisha kwa burundani wakazi wa mji wa Moshi waliohudhuria
tamasha la kwanza la ‘Kilimanjaro Music Tour 2014’ lililofanyika katika
Viwanja vya Chuo Shirikishi cha Ushirika na Biashara (MUCCOBs). Kilimanjaro Music Tour inadhaminiwa na Bia ya Kilimanjaro Premium Lager.
wakiwapagawisha kwa burundani wakazi wa mji wa Moshi waliohudhuria
tamasha la kwanza la ‘Kilimanjaro Music Tour 2014’ lililofanyika katika
Viwanja vya Chuo Shirikishi cha Ushirika na Biashara (MUCCOBs). Kilimanjaro Music Tour inadhaminiwa na Bia ya Kilimanjaro Premium Lager.
Msanii wa Muziki wa Taarabu, Khadija
Kopa akitoa burudani kwa wakazi wa mji wa Moshi waliohudhuria tamasha la
kwanza la ‘Kilimanjaro Music Tour 2014’ lililofanyika katika Viwanja
vya Chuo Shirikishi cha Ushirika na Biashara (MUCCOBs). Kilimanjaro
Music Tour inadhaminiwa na Bia ya Kilimanjaro Premium Lager.
Wakazi wa mji wa Moshi wakifurahia
tamasha la kwanza la ‘Kilimanjaro Music Tour 2014’ lililofanyika katika
Viwanja vya Chuo Shirikishi cha Ushirika na Biashara (MUCCOBs).
Kilimanjaro Music Tour inadhaminiwa na Bia ya Kilimanjaro Premium Lager.


Msanii wa Muziki wa Kizazi Kipya, Ben Pol akiwa na wacheza
shoo wake wakitoa burundani kwa wakazi wa mji wa Moshi waliohudhuria katika uzinduzi
wa tamasha la ‘Kilimanjaro Music Tour 2014’ katika Viwanja vya Chuo Shirikishi
cha Ushirika na Biashara (MUCCOBs). Kilimanjaro Music Tour inadhaminiwa na Bia ya Kilimanjaro Premium Lager.
Post a Comment