LULU AKACHA MSIBA WA KUAMBIANA, AJITETEA
STAA wa sinema za Kibongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’
amedaiwa kuukacha msiba wa
aliyekuwa nguli wa filamu za Kibongo, Adam Philip Kuambiana na kujitetea kuwa alibanwa
na majukumu.
Alipobanwa na mwanahabari wetu kuhusu kutohudhuria msiba huo uliodumu kwa takriban siku
nne, Lulu alijitetea kuwa alikuwa Mwanza kikazi.
“Nimebanwa na kazi, nipo Mwanza na kampuni yetu tunayofanya nayo kazi imetoa nafasi
moja tu kurudi Dar kwenye msiba, nimeshindwa,” alisema Lulu.
Mastaa wengi walijitokeza kwenye msiba huo akiwemo Jacob Steven ‘JB’ ambaye
alikuwa nchini Uturuki kikazi lakini akaziacha na kurejea Bongo kumpumzisha prodyuza wake.
CHANZO GPL
aliyekuwa nguli wa filamu za Kibongo, Adam Philip Kuambiana na kujitetea kuwa alibanwa
na majukumu.
Alipobanwa na mwanahabari wetu kuhusu kutohudhuria msiba huo uliodumu kwa takriban siku
nne, Lulu alijitetea kuwa alikuwa Mwanza kikazi.
“Nimebanwa na kazi, nipo Mwanza na kampuni yetu tunayofanya nayo kazi imetoa nafasi
moja tu kurudi Dar kwenye msiba, nimeshindwa,” alisema Lulu.
Mastaa wengi walijitokeza kwenye msiba huo akiwemo Jacob Steven ‘JB’ ambaye
alikuwa nchini Uturuki kikazi lakini akaziacha na kurejea Bongo kumpumzisha prodyuza wake.
CHANZO GPL
Post a Comment