RAY C AANZISHA KIPINDI CHA TV,KUANZA KUONEKANA HIVI KARIBUNI
STAA wa Bongo Fleva,Rehema Chalamila’Ray C’ ameanzisha kipindi cha televisheni kiitwacho Pamoja Inawezekana ambacho kinatarajiwa kuanza kurushwa hivi karibuni,ambapo kuna picha ambazo msanii huyo amezipost kwenye mtandao akiwa na wasanii akiwafanyia interview.
yanayohusu matatizo au athari za madawa ya kulevya,tutawatangazia hivi karibuni.ewe ndugu
jamaa rafiki anayesumbuliwa na madawa ya kulevya usisite kuwasiliana na sisi Tutakusaidia kwa hali na Mali.
CREDIT: CLOUDS FM

Post a Comment