ad

ad

HAPPY MUUNGANO DAY

Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere akichanganya udongo wa Tanganyika na Zanzibar kama ishara rasmi ya kuunganisha nchi hizo mbili miaka 50 iliyopita. 2JIACHIE imnaungana na Watanzania duniani kote kusherehekea siku hii adhimu kwa kuwatakia  HAPPY MUUNGANO DAY

No comments

Powered by Blogger.