DAVINA: KULEA KUMENIKOSESHA DILI
STAA wa Bongo Movie, Halima Yahaya ‘Davina’ amefunguka kuwa mwaka
2013 aliutumia zaidi kwa kulea mimba hadi kujifungua hivyo kukosa madili
ya kazi za uigizaji.
“Nimejipanga zaidi mwaka huu, nimedhamiria kufanya mapinduzi makubwa katika sanaa tofauti na kipindi cha nyuma, kulea siyo mchezo ilibidi sanaa ikae pembeni kidogo,” alisema Davina ambaye sasa ni mama wa mtoto mmoja, Fazal.
Halima Yahaya ‘Davina’.
Akizungumza na paparazi wetu, Davina alisema mwaka huu amejipanga
kurejea upya katika sanaa kwani amegundua kuwa mashabiki wake walikuwa
wamemmisi hivyo lazima apambane kutetea taito yake katika sanaa.“Nimejipanga zaidi mwaka huu, nimedhamiria kufanya mapinduzi makubwa katika sanaa tofauti na kipindi cha nyuma, kulea siyo mchezo ilibidi sanaa ikae pembeni kidogo,” alisema Davina ambaye sasa ni mama wa mtoto mmoja, Fazal.

Post a Comment