UJUMBE KWA WAKAKA WOTE AMBAO, HAWAJAOA SOMA HAPA
Huyo Msichana unayemsumbua leo na Kumchezea leo kama Mdoli Siku moja
atakuja kuwa Mke wa Mtu fulani....Uharibifu unaoufanya kwenye Mwili wake
kwa kulazimisha Abortions zisizo na
idadi,na uharibifu unaoufanya kwenye moyo wake kwa kumchezea chezea na
kumuumiza hisia zake na kumfanya awe na hisia kama za Mnara wa Askari
ipo siku Mwanaume mwenzako atakuja kumuoa na kuyarithi yote uliyomfanya
huyo mdada.
Je Unamjua mke wako wa kesho???
Wakati uko bize kumharibu Mke wa mwenzio,Na wewe mke wako wa kesho yuko
na jamaa mwingine nae anamharibu sawasawa na uharibifu unaofanya wewe...
Kabla hujaumiza Mdada wa watu Jiulize Utafurahi ukimkuta Mkeo wa kesho
nae amefanyiwa Uharibifu kama unaoufanya kwa huyo mdada leo???
Treat a Woman the way you would Love your Future Woman to be treated
huko aliko....Malipo ni hapahapa...Kila Debit Transaction ina
corresponding Credit Entry...Double Entry System applies in
Love...TAFAKARI...CHUKUA HATUA...HAKI MAPENZI.kwa hisini ya msukuma wa
kwanza kuja Dar.

Post a Comment