MZEE NA ‘JAHAZI LAKE’ WACHENGUA MASHABIKI DAR LIVE
UKUMBI wa Taifa wa Burudani wa Dar Live uliopo Mbagala-Zakhem jijini Dar es Salaam, jana usiku ulifurika mashabiki katika onyesho la bendi ya taarabu ya Jahazi inayoongozwa na staa Mzee Yusuf.
(PICHA ZOTE NA ISSA MNALLY / GPL)
Post a Comment