QUEES SUZY KUUKACHA UNENGUAJI
Stori: Mwaija Salum
MNENGUAJI mahiri wa Bendi ya FM Academia, Suzan Chubwa ‘Queen Suzy’ amefunguka kuwa yuko mbioni kuachana na kazi ya unenguaji na kujikita zaidi kwenye utunzi na uimbaji wa muziki.
Akistorisha na Risasi Vibes, Queen Suzy alisema kwa sasa anataka kuwaachiwa chipukizi wanengue wakati yeye akikamata kipaza sauti baada ya kunengua kwa miaka mingi.

Post a Comment