Watanzania
wametakiwa kujenga tabia ya kuvitumia vituo vya afya kupima afya ya
figo mara kwa mara na kupata ushauri na tiba mapema pindi
wanapogundulika kuwa na matatatizo ya figo ili kuepuka kusababisha
usugu wa ugonjwa huo.
TASWILA ZA PICHA ZA SIKU YA FIGO DUNIANI KUTOKA ARUSHA LEO HII NA SIKU YA JANA-LEO NDO SIKU YA FIGO DUNIANI 14/03/2013
PICHA ZOTE NA WANA 2JIACHIE ARUSHA
Wananchi wa Arusha na sehemu mbalimbali walipewa semina kukabiliana na magonjwa juu ya figo na kuzingatia chakula bora muda wote na kucheki afya zao kwa wakati.
PICHA ZOTE NA WANA 2JIACHIE ARUSHA
Post a Comment