MBAVU ZANGU:CHEKA KIDOGO NA 2JIACHIE
Wezi wa Mifugo waliiba ng,ombe kwa Mmasai kisha wakamfunga
Mmaasai Uchi kwenye Mti ucku kucha Asubuhi Majirani wakaja,
Majirani: Masai pole sana kwa matatizo
Masai: sante
Majirani: wamechukua mifugo yoote dah! pole sana
Masai: tatiso sio kuchukua ngombe yote. bado ni bora
Majirani: aaaah! kumbe tatizo nini jirani kama ng'ombe sio tatizo.
Masai:
Sisikitikii Ngombe Yangu kuibiwa bali huyu Ndama
waliemuacha alikuja kuninyonya .......... yangu usiku kucha akidhani ni
ziwa ya Mama yake hapa nipo hoi, sijui itaambia nini mama yoyoo ikisema
nataka Maana itaniuliza ngombe imeibiwa na hii kazi ingine umefanya
wapi?????????? ooooh laitoriany.
Majirani: kwi kwi kwi kwi duh hii kali ( ooooh laitoriany kimasai, maana yake oooo mungu wangu.

Post a Comment