ENGLISH PREMIER LEAGUE: STOKE 0 vs CHELSEA 4, QPR 0 vs TOTTENHAM SPURS 0, SUNDERLAND 3 vs WEST HAM 0, READING 3 vs WEST BROM 2
STOKE 0 vs CHELSEA 4
Bao mbili za kujifunga wenyewe na Penati
ya Frank Lampard ziliwapa Chelsea ushindi wa Bao 4-0 Uwanjani Britannia
dhidi ya Stoke City huku Bao lao la nne likifungwa kwa utamu sana na
Eden Hazard.
Mchezaji alieweka historia ya kujifunga
mwenyewe mara mbili katika Mechi moja ya Ligi Kuu England ni Jon Walters
ambaye pia alikosa kufunga Penati waliyopewa Stoke City baada ya yeye
mwenyewe kufanyiwa Rafu na John Terry na kuona shuti lake la Penati
likiota mbawa.
Kufuatia ushindi huo Chelsea sasa imevunja rekodi ya Stoke City ya
kutoshindwa katika mechi yoyote katika uwanja wao wa nyumbani.
Kabla ya mechi hiyo Stoke ilikuwa imecheza mechi 17 katika uwanja wao bila kupoteza hata moja.
Walters aliifungia Chelsea bao la kwanza kwa
kichwa baada ya Cesar Azpilicueta kupiga cross, na wakati alipokuwa
akijaribu kuiondoa, kwa bahati mbaya likaingia ndani ya lango lao.
Dakika ya 45 kipindi cha kwanza Walters alifanya
kosa kama hilo hilo na kufunga kwa mara nyingine kwa kichwa cross
iliyopigwa na Juan Mata corner.
Frank Lampard naye akaifungia Chelsea bao la
tatu kupitia kwa mkwaju wa penalti kabla ya Eden Hazard kufunga la nne
kwa kombora alioupiga kwa zaidi ya mita 30 kutoka kwa goli.
Na kipindi hicho cha pili Stoke walipata penalti baada ya John Terry kumfanyia madhambi mchezaji wake lakini mkwaju wa
Walters uligonga mlingoti.
Walters uligonga mlingoti.
Complaint: Tony Pulis confronts the referee at half-time
Eden Hazard akipongezwa baada ya kufunga goli kipindi cha pili dakika ya 73
Bango la maelezo kwa Rafa lililotupwa na kuokotwa na mashabiki wa Stoke na kuingia nalo uwanjani.
John Terry amecheza leo na hapa akipishwa na Mata dakika ya 79
VIKOSI:
Stoke:
Begovic, Cameron, Shawcross, Huth, Wilkinson, Walters, Whelan, Nzonzi,
Etherington (Kightly 86), Adam (Whitehead 79), Jones (Jerome 78).
Subs not used: Sorensen, Upson, Crouch, Shotton.
Booked: Wilkinson.
Chelsea: Cech, Azpilicueta (Ferreira 83), Ivanovic, Luiz, Cole, Hazard, Lampard, Ramires, Bertrand, Mata (Terry 79), Ba (Torres 71).
Subs not used: Turnbull, Oscar, Marin, Ake.
Goals: Walters o.g 45, 62 Lampard 65 pen, Hazard 73.
Ref: Andre Marriner
Att: 27,348.
NORWICH 0 vs NEWCASTLE 0
Jonas Gutirrez akichuana na Russell Martin uwanjani Carrow Road
Coloccini akimfatilia Simeon Jackson kwa nyuma.
Coloccini akimtega Snodgrass na kuanguka.
Alan Pardew akifatilia mtanange na huku akijionea kukosa pointi 3 muhimu na kuambulia droo.
VIKOSI:
Norwich: Bunn, Martin, Bassong, Turner, Garrido, Pilkington, Johnson, Tettey, Snodgrass, Hoolahan, Jackson
Akiba: Rudd, Holt, Fox, Elliott Bennett, Barnett, Ryan Bennett, Kane.
Newcastle: Krul, Debuchy, Williamson, Coloccini, Santon, Perch, Anita, Obertan, Marveaux, Gutierrez, Cisse
Akiba: Harper, Cabaye, Amalfitano, Bigirimana, Sammy Ameobi, Ranger, Tavernier.
Refa: Anthony Taylor
Di DANTO AISAWAZISHIA NA KUIOKOA TIMU YAKE KIPINDI CHA PILI
FULHAM 1 vs WIGAN 1
Bao la kwanza kwa Franco Di Santo katika
Ligi Kuu England katika Miezi mitatu leo limewapa sare ya ugenini ya
Bao 1-1 walipocheza na Fulham ambao ndio walitangulia kufunga kwa
kigongo cha Giorgos Karagounis cha Mita 25.
Karagounis akimimina shuti kali
Nyavu zikitingishwa mapema dakika ya 22 ya mchezo
Dakika ya 71 Di Santo akaisawazishia Wigan
Di Santo akishangilia baada ya kusawazisha na kufanya 1-1
Berbatov akikabwa leo hii.
Martinez anatanguliwa pointi 6 na Fulham kwa droo waliyoipata leo.
Karagounis akimimina shuti kali
Berbatov akikabwa leo hii.
VIKOSI:
Fulham:
Schwarzer, Riether, Hangeland, Hughes, Richardson, Duff (Baird 82),
Karagounis, Ruiz, Kacaniklic (Dejagah 87), Berbatov, Petric (Rodallega
65).
Subs Not Used: Stockdale, Riise, Senderos, Kasami.
Goals: Karagounis 22.
Wigan: Al Habsi, Figueroa, Caldwell, Ramis (Stam 90), Beausejour, McArthur, Jones (Gomez 65), Boyce, McCarthy, Maloney, Di Santo.
Subs Not Used: Pollitt, Henriquez, McManaman, Boselli, Golobart.
Booked: McArthur.
Goals: Di Santo 71.
Att: 25,442
Ref: Mark Clattenburg
SUNDERLAND 3 vs WEST HAM 0Larsson akifunga goli dakika la kwanza dakika ya 12
Johnson (kushoto) akipongezana kwa ushindi huo wa 3-0 uwanjani Stadium of Light dhidi ya West Ham
VIKOSI:
Sunderland: Mignolet, Gardner, O'Shea, Bramble, Colback, Johnson, Vaughan, Larsson, McClean, Fletcher, Sessegnon
Akiba: Westwood, Bardsley, N'Diaye, Campbell, Wickham, McFadden, Kilgallon.
West Ham: Jaaskelainen, Demel, Collins, Reid, Potts, Collison, Diarra, Joe Cole, Nolan, Jarvis, Carlton Cole
Akiba: Spiegel, Tomkins, Vaz Te, Taylor, Diame, Chamakh, O'Neil.
Refa: Neil Swarbrick
QUEENS PARK RENGERS 0 vs TOTTENHAM 0
QPR leo walingangamara na kuweza kutoka
sare ya 0-0 na Tottenham na hii ikiwa ni Mechi ya kwanza kwa Meneja wa
QPR, Harry Redknapp, kukutana na Timu yake ya zamani Tottenham tangu
atimuliwe huko mwanzoni mwa Msimu huu.
Shujaa wa QPR alikuwa Kipa wao kutoka
Brazil Julio Cesar aliekoa Bao kutoka kwa Jermain Defoe na pia kuokoa
tena mpira huo ulipomrudia Emmanuel Adebayor.
Harry Redknapp akisalimiana na Andre Villas-Boas kabla ya mtanange Loftus Road leo
Mashabiki wa Tottenham wakionesha bango la kumuenzi kocha wao wa zamani Harry
kipa Julio Cesar akipangulia nje mpira uliopingwa.
akidaka kwa makini
Kocha wa England Roy Hodgson akiangalia mtanange huo ambao umetoka sale ya 0-0
Adel Taarabt (katikati) akijaribu kuwatoka wachezaji wa Spurs.
Harry Redknapp akisalimiana na Andre Villas-Boas kabla ya mtanange Loftus Road leo
Mashabiki wa Tottenham wakionesha bango la kumuenzi kocha wao wa zamani Harry
kipa Julio Cesar akipangulia nje mpira uliopingwa.
akidaka kwa makini
VIKOSI:
QPR: Julio Cesar, Onuoha, Hill, Nelsen, Da Silva, Mbia, Park, Derry, Wright-Phillips, Taarabt, Mackie
Akiba: Green, Ferdinand, Cisse, Ben Haim, Faurlin, Bothroyd, Campbell.
Tottenham: Lloris, Walker, Dawson, Vertonghen, Naughton, Lennon, Dembele, Sandro, Bale, Adebayor, Defoe
Akiba: Friedel, Dempsey, Huddlestone, Parker, Sigurdsson, Assou-Ekotto, Caulker.
Refa: Lee Probert
BARCLAYS PREMIER LEAGUE
MATOKEO
Jumamosi 12 Januari 2013
[SAA 12 Jioni]
Aston Villa 0 v Southampton 1
Everton 0 v Swansea 0
Fulham 1 v Wigan 1
Norwich 0 v Newcastle 0
Reading 3 v West Brom 2
Stoke 0 v Chelsea 4
Sunderland 3 v West Ham 0
[SAA 12 Jioni]
Aston Villa 0 v Southampton 1
Everton 0 v Swansea 0
Fulham 1 v Wigan 1
Norwich 0 v Newcastle 0
Reading 3 v West Brom 2
Stoke 0 v Chelsea 4
RATIBA JUMAPILI YA LEO
Jumapili 13 Januari 2013
[SAA 10 na Nusu Jioni]
Man United v Liverpool
[SAA 1 Usiku]
Arsenal v Man City
RATIBA
Jumatano Januari 16
[SAA 4 DAK 45 Usiku]
Chelsea v Southampton
Jumamosi Januari 19
[SAA 12 Jioni]
Liverpool v Norwich
Man City v Fulham
Newcastle v Reading
Swansea v Stoke
West Ham v QPR
Wigan v Sunderland
[SAA 2 na Nusu Usiku]
West Brom v Aston Villa
Jumapili Januari 20
[SAA 10 na Nusu Jioni]
Chelsea v Arsenal
[SAA 1 Usiku]
Tottenham v Man United

Post a Comment