Video: YANGA Wazomewa Bandarini Kisa Kutolewa Mapinduzi Cup na URA
BAADA ya jana Klabu ya Yanga kuondoshwa kwenye Michuano ya Mapinduzi Cup
na Klabu ya URA ya Uganda katika nusu fainali ya kwanza, wachezaji na
viongozi wa klabu hiyo wamewasili Dar es Salaam jana kutoka Mjinni Unguja
visiwani Zanzibar huku wakiwa na sura za huzuni.
Yanga abayo ilicheza chezo wa Nusu Fainali na URA huku ikiondolewa kwa njia ya mikwaju ya penati 5-4, baada ya nyota wao raia wa Zambia, Obrey Chirwa kukosa penati ya mwisho na kuwafanya waungane na wapinzani wao Simba SC, ambao nao waliondolewa juzi Jumatatu na Azam FC, baada ya kuchapwa bao 1-0. https://www.youtube.com/c/KidaniStars
VIDEO HII HAPA WAKIZOMEWA NA MASHABIKI
Yanga abayo ilicheza chezo wa Nusu Fainali na URA huku ikiondolewa kwa njia ya mikwaju ya penati 5-4, baada ya nyota wao raia wa Zambia, Obrey Chirwa kukosa penati ya mwisho na kuwafanya waungane na wapinzani wao Simba SC, ambao nao waliondolewa juzi Jumatatu na Azam FC, baada ya kuchapwa bao 1-0. https://www.youtube.com/c/KidaniStars
VIDEO HII HAPA WAKIZOMEWA NA MASHABIKI
Post a Comment