RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama Cha
Mapinduzi (CCM) Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 13 Januari,
2018 amekutana na kufanya mazungumzo na Katibu wa Halmashauri Kuu ya
CCM, Itikadi na Uenezi Ndg. Humphrey Polepole, Ikulu Jijini Dar es
Salaam
Post a Comment