Zari The Bosslady alimshangaa Diamond Platnumz kutotumia condom kwa Hamisa aliyemuita 'low life'
Mipasho!
Mwanamitindo mjasiriamali, Zarinah Hassan ‘Zari The BossyLady’ ambaye aliingia
katika mtafaruku wa maisha yake ya kimapenzi na mpenzi wake aliyezaa naye
watoto wawili Diamond Platnumz, kwa mara nyingine juzikati amefunguka akiongea
na kituo cha redio nchini Uganda kuwa alimshangaa mzazi mwenzie huyo kutotumia
Kondom alipokuwa akikutana na Hamisa Mobeto mpaka kuzaa naye mtoto.
Pia
amefunguka kuwa alimshangaa kumleta Hamisa Mobeto kwenye kitanda chake ambapo
alikitumia kulala nae usiku mnene na kumkimbiza kabla ya watu kuamka.
Zari
akamalizia kuwa atamkataza kwenda kumuona mtoto wake kwa Hamisa Mobeto kwa kuwa
motto huyo anataka kumuona baba yake.
Post a Comment