TIMU YA SOKA HUKO HISPANIA YASHINDA KWA MABAO 47-0 KATIKA LIGI
Wakati kaka zao wakionekana wameshindwa na watateremka kutoka La Liga, kikosi cha timu B cha La Palmas kimeshinda kwa mabao 47-0 dhidi ya Las Coloradas.
Timu hizo kutoka katika visiwa vya Canarian nchini Hispania vilikuwa vikishiriki Ligi Kuu ya soka ya Vijana nchini Hispania.
La Palmas ikaibuka na ushindi wa mabao 47 na kuzua gumzo kubwa miongoni mea wapenda soka.
Inaonekana
wadau wanaonekana kukerwa na hali hiyo au kutofurahishwa na timu kuwa
dhaifu kupita kiasi jambo ambalo wanaona si sahihi.
Post a Comment