Alichokifanya Ebitoke Usiku wa 900 Itapendeza Dar Live (Video)
STAA wa vichekesho Bongo, Ebitoke alipanda jukwaani na kundi lake zima
kutoka Timamu, liliwafanya mashabiki wavunjike mbavu kwa vicheko
kutokana na mambo ambayo waliyafanya jukwaani akiwa sambamba na mamaa
Ashura.
Post a Comment