ad

ad

Alichokifanya Ebitoke Usiku wa 900 Itapendeza Dar Live (Video)

STAA wa vichekesho Bongo, Ebitoke alipanda jukwaani na kundi lake zima kutoka Timamu, liliwafanya mashabiki wavunjike mbavu kwa vicheko kutokana na mambo ambayo waliyafanya jukwaani akiwa sambamba na mamaa Ashura.

No comments

Powered by Blogger.