Ester Bulaya Augua Ghafla Akiwa Rumande
Bulaya akiwa amelazwa.
..Akiendelea kutibiwa.
Taarifa za kulazwa kwa Bulaya zimethibitishwa na Katibu wa Mbunge Tarime Vijijini, John Heche (Chadema), Mrimi Zabron ambaye ameeleza kuwa Bulaya anasumbuliwa na kifua ambacho kimesababisha ashindwe kuzungumza lakini hata hivyo madaktari wanaendelea kumtibu.


Post a Comment