Jina Jayden K Smith Latumika Kusambaza Meseji Feki ya Udukuzi

Ujumbe huo umekuwa ukisomeka kwamba: "Tafadhali waambie washirika wako wote wa katika orodha yako ya Messenger, waambie wasikubali maombi ya urafiki na Jayden K Smith. Huyo ni mdukuaji na mfumo wake wa udukuzi ameuunganisha kwenye akaunti yako ya Facebook. Iwapo mmoja wa watu unaowasiliana nao atamkubali, utajikuta na wewe unafanyiwa udukuzi, hivyo hakikisha marafiki zako wote wanafahamu jambo hili. Asante. Ujumbe umeletewa kama ulivyopokelewa." Meseji hiyo ni moja ya zile zinazotishia wenye akaunti kwenye Facebook kuhusu mambo mbalimbali.
Trump announces new head of World Cyber Security Task Force: Jayden K. Smith.— Sue O'Connell (@SueNBCBoston) July 10, 2017
Homeland Security reports they have identified hacker Jayden K Smith pic.twitter.com/XyqNBtVi4b— Neil Carter (@godlessindixie) July 10, 2017
Post a Comment