Sabby Ajutia Picha Zake Za za nusu utupu kwani sasa amebadilika
Akipiga stori na 3 Tamu, Sabby alisema huko nyuma alikuwa na kasumba ya kupiga picha ambazo ziko kinyume na maadili lakini sasa hivi ameacha mambo hayo ila kila akiziona kwenye mitandao anaumia sana.
“Namshukuru Mungu kwa kunifanya nibadilike, kwa sasa sina mpango tena wa kupiga picha ambazo ziko kinyume na maadili zile nilizopiga kipindi cha nyuma nimezifuta kwenye kurasa zangu mtandaoni, nimeona ni muda muafaka wa kubadilika,” alisema Sabby.
Post a Comment