ad

ad

Esta Kiama Aushukuru Mwezi wa Ramadhani

Msanii wa filamu Bongo, Esta Kiama.
MSANII wa filamu Bongo, Esta Kiama amefunguka kuwa mwezi mtukufu uliomalizika umemsaidia kupunguza dhambi alizokuwanazo kwa kuutumia vyema kusali na kufunga kama mwezi huo unavyotaka.

Akizungumza na 3 Tamu, Esta alisema kuwa, alikuwa akimuomba Mungu, asiache kufunga hata siku moja ili kama kuna baadhi ya makosa aliyowahi kuyafanya asamehewe kupitia mwezi huo. “Nashukuru mwezi mtukufu umetufanya tufanye toba ya kweli na hata madhambi tuliyokuwanayo naamini baadhi yatakuwa yamefutwa kabisa,” alisema Estar

No comments

Powered by Blogger.