Droo Ndogo Ya Nne Shinda Nyumba: Washindi Wa Ving’amuzi Vya Ting Kwatu!

- Mwakilishi wa TING, Caroline Collent (kushoto) akimkabidhi zawadi ya King’amuzi, Ally Ramadhani Kazi.
Washindi wa juzi waliokuwa wachukue chao walikuwa ni Dokta Uhemba (Dodoma) Verus Kweyamba (Moshi) Ally Ramadhan (Mburahati), Rhoda Kimenyi wa Morogoro na Ringo Mbuya mkazi wa Uyole mkoani Mbeya.
- Mwakilishi wa TING, Caroline Collent (kushoto) akimkabidhi zawadi ya king’amuzi, Farida Mukhisin aliyekua kwa niaba ya Verus Kweyamba wa Moshi.
Afisa Masoko wa Global Publishers, wachapishaji wa magazeti ya Uwazi, Ijumaa, Risasi, Championi, Amani na Ijumaa Wikienda, Yohana Mkanda, alisema zoezi hilo limehitimisha shughuli za droo ndogo ya nne, iliyofanyika wiki mbili zilizopita katika viwanja vya CCM Mwinjuma, Mwananyamala jijini Dar.
- Mkuu wa Idara ya Usambazaji ya Global Publishers, LawranceKabende akimkabidhi zawa ya King’amuzi cha TING, Mary Mboya aliyechukua kwa niaba ya RhodaKimenyiwa Mrogoro.

Bahati Nasibu ya Shinda Nyumba Awamu ya Pili imedhaminiwa na kampuni ya Tecno Mobile, King’amuzi cha Ting, British School na Kilimanjaro Institute of Technology.
Na Mwandishi Wetu
Post a Comment