ad

ad

Babu Tale: Makonda tunaomba kujua ROMA yupo wapi?



Meneja wa lebel ya WCB Babu Tale amefunguka mazito juu ya kupotea kwa msanii Roma kupitia mtandao wake kayasema haya
 Meneja wa lebel ya WCB Babu Tale.

Uoga ni uzembe me nazani mwenye jukumu la kujua Roma yupo wapi ni Mkuu wa koa sababu yeye ndio kiongozi wa kamati ya usalama ya mkoa sasa ikiwa tumezunguka vituo vyote vya polisi na mwenzetu atumuoni nani wa kumfuata kumwambia tunamtaka mwenzetu kama sio @paulmakonda me naanza hili bila uoga mkuu wa mkoa naomba utusaidie kutuambia mnzetu @roma2030 alipo. Tukutane Tongwe mida hii me nipo kwa foleni wakuu #uogauzembe#freeroma

No comments

Powered by Blogger.