Wema Sepetu aibuka upya Instagram, Atupia picha Amazing
MREMBO
asiyeishiwa matukio kila kukicha Bongo, Wema Isaac Sepetu hatimaye ameibuka kwa
mara nyingine kutoka mafichoni alikokuwa amejificha kwa muda mrefu, baada ya
kuitelekeza kwa muda akaunti yake hiyo ambapo kwa kufuta picha zake zote za zamani na kubakiza
masualia mengi kwa mashabiki wake ambao hawakuweza kupata majibu yake.
Kabla
ya kufuta kila kitu kwenye akaunti yake hiyo, Wema alikuwa na zaidi ya followes
Milioni mbili na nusu, ambao wameendelea kumvumilia hadi jana jioni aliporejea
na kuanza kuweka picha mpya kwenye profile yake kisha akaipost upya kwenye
akaunti yake hiyo.
Hadi
muda huu Wema bado hajatoa sababu ya msingi iliyomfanya aamue kufuta posti zake
hizo pamoja na kuwa na maswali mengi kutoka kwa mashabiki wake wakimtaka
awafafanulie kilichomfanya kuchukua uamuzi huo.
Wema
amerudi na mafumbo makali ambayo yanaonekana kutowaweka wazi mashabiki zake
kwani hadi muda huu ameandika ujumbe unaosomeka kuwa....
Happy 2017... and am excited..
how Many Likes?? Share from
This one and am gonna Tell You something to Celebrate for the whole Year.... #WSSoCloseToYou #WSladieschoice #WSyourAddiction
#unataka kusikia jambo zuri kutoka kwangu kwa mwaka 2017? Gonga Likes za kutosha and nitarudi kukung'ata sikio... This be your First Image.... There is plenty of these Just for You.... I missed You too.... @ossegrecasinare You are Life....🤗
This one and am gonna Tell You something to Celebrate for the whole Year.... #WSSoCloseToYou #WSladieschoice #WSyourAddiction
#unataka kusikia jambo zuri kutoka kwangu kwa mwaka 2017? Gonga Likes za kutosha and nitarudi kukung'ata sikio... This be your First Image.... There is plenty of these Just for You.... I missed You too.... @ossegrecasinare You are Life....🤗
Post a Comment