ad

ad

Meli ya Kisasa ya Azam Yatia Nanga Bandari ya Tanga kwa Mara ya Kwanza


TANGA: Meli mpya na ya kisasa iitwayo AZAM SEALINK 2 aina ya RORO yenye uwezo wa kubeba abiria wapatao 1650, mizigo uzito wa tani 717 sambamba na magari 150 imetia nanga kwa mara ya kwanza katika Bandari ya Tanga leo, Januari 30, 2017.
azam1
Meli hiyo inatarajiwa kufanya safari zake na kutoa huduma za kubeba abiria na mizigo ikiwemo magari kutoka Pemba kwenda Unguja hadi Tanga mara moja kwa wiki.

   azam2
Meli hiyo inatarajiwa kupunguza adha ya uisafiri katika bandari hiyo sambamba na kurahisisha usafirishaji wa mizigo, magari pamoja na abiria kupitia Bandari ya Tanga.azam3

azam7
Meli hiyo baada ya kutia naga katika Bandari ya Tanga, leo.




azam4 azam5 azam6
Muonekano wa meli hiyo kwa nje.

No comments

Powered by Blogger.