ad

ad

YANGA CHINI YA LWANDAMINA YAANZA KWA KICHAPO KWA MABAO 2-0


Yanga imepoteza mechi yake ya kwanza chini ya Kocha George Lwandamina.

JKU ya Zanzibar ndiyo iliyoitia njaa Yanga kwa kuichapa mabao 2-0 katika mechi ya kirafiki iliyopigwa kwenye Uwanja wa Uhuru jijini Dar.

Yanga ilikuwa nyuma kwa mabao 2-0 hadi mapumziko ndipo Lwandamina akabadili kikosi chote kwa asilimia 95.

Hata hivyo, bado hakuweza kuabdilisha lolote kwa kuwa hadi mwisho, JKU iliibuka na ushindi.







No comments

Powered by Blogger.