RAPA wa Muziki wa HipHop hapa nchini ambaye kwa sasa anabamba Ngoma ya Muziki, Shariff Thabeet maarufu kwa jina Darassa amefunguka kuwa anavutiwa zaidi na uchezaji wa kiungo mshambuliaji wa Yanga, Simon Msuva ambao amekuwa akiuonyesha uwanjani.
Post a Comment