Video: Rich Mavoko rasmi WCB, kasainishwa rasmi leo
Mwimbaji wa bongofleva Rich Mavoko amesaini rasmi kuwa chini ya lebo ya WCB ambayo inasimamiwa na Diamond Platnumz akiungana kuwa chini ya lebo na wakali wengine ambao ni Raymond na Harmonize.
Mwimbaji wa bongofleva Rich Mavoko amesaini rasmi kuwa chini ya lebo ya WCB ambayo inasimamiwa na Diamond Platnumz akiungana kuwa chini ya lebo na wakali wengine ambao ni Raymond na Harmonize.
BARAZA la Mitihani la Taifa (NECTA), latangaza matokeo ya kidato cha nne mwaka 2017, ambapo ufaulu umepanda kwa asilimia 7.22 huku wata...
Post a Comment