Baada ya kamati ya kanuni na uongozi wabunge kuifanyia kazi na kuondoa
vipengele hotuba ya kambi ya upinzani mambo ya ndani kama mauwaji ya
kisiasa. Nyumba za serikali, Mkataba wa Lugumi, uchaguzi wa Zanzibar sakata la NIDA na Wizi wa Rada.Tumeamua kuiondoa hotuba Yote
Post a Comment