ad

ad

Rose Ndauka katuletea magazine yake inaitwa ‘Rozzie’

Baada ya kimya cha muda mrefu mrembo kutoka kiwanda cha filamu Bongo Rose Ndauka amekuja na ujio mpya wa Hard Copy ya Magazine yake ya Rozzie ambayo awali ilikuwa ikipatikana mtandaoni pekee, Rose amezindua Magazine yake ya Rozzie leo January 29 na itakuwa ikipatikana bure kila mwezi kwa watanzania wote.
DSC_0089
Rose amefanya uzinduzi na kutoa copy ya kwanza ya Magazine yake, ambayo lengo la Magazine hiyo itakayokuwa inatolewa kila mwezi ni kuburudisha na kuelimisha mashabiki wake kupitia Magazine. Hizi ni pichaz za uzinduzi na muonekano wa kwanza wa Magazine ya Rozzie.
DSC_0092
DSC_0098
Rose Ndauka na Meneja wake Ramadhani
DSC_0095
id 1

No comments

Powered by Blogger.