Dar waendelea kuchangamkia bahati nasibu ya Shinda Nyumba
Katika bahati
nasibu hiyo, msomaji anatakiwa kununua magazeti na kukata kuponi, kisha kuijaza
na kuituma kwa njia ya posta au kuifikisha moja kwa moja katika ofisi za
Global, Bamaga, Mwenge, Dar au hata kuwafikishia kwa mawakala wa kuuza magazeti
waliopo hapa nchini.
Droo ya
kwanza ya bahati nasibu hiyo inatarajia kuchezeshwa Januari 7, mwaka huu katika
viwanja vya Mbagala Zakhem, Dar huku zawadi mbalimbali kama simu za kisasa, dinner
sets (vyombo vya ndani, bed sheets, TV, Ving’amuzi vya TING na Pikipiki
vitatolewa kwa washindi.
Wafanyakazi
wa Global, ndugu zao na watu walio chini ya umri wa miaka 18 hawaruhusiwi
kushiriki.
Post a Comment