ad

ad

Alichosema Zitto Kabwe baada ya kompyuta ya Kamishna Mkuu TRA kuibiwa!


Kompyuta ya Kamishna Mkuu TRA imeibiwa na wezi waliovunja Ofisi. Gazeti la Mwananchi limeandika leo. Leo hiyo hiyo Ikulu imetoa taarifa kuwa Kaimu Naibu Kamishna wa TRA ndg. Maswi amerejeshwa Manyara baada ya kumaliza kazi maalumu aliyotumwa TRA. Hizi ni sarakasi. Hizi ni drama. Serikali haiendeshwi kwa drama
 

No comments

Powered by Blogger.