Taharuki Dar es Salaam: Abiria wajeruhiwa kwa kisu, mhusika auawa na wananchi
Mtu mmoja aliyekuwa abiria ndani ya daladala lililokuwa
likitoka mjini kuelekea Makumbusho amewashambulia kwa kisu abiria kadhaa
ndani ya gari maeneo ya Magomeni na kuwasababishia majeraha makubwa,
majeruhi wote wamekimbizwa Mwananyamala. Mshambuliaji huyo ameuawa na
wananchi wenye hasira. Hadi sasa haijafahamika nini lililkuwa lengo la
mshambuliaji huyo.
CHANZO: JAMIIFORUMS
CHANZO: JAMIIFORUMS

Post a Comment