Lulu ajiita demu feki tena mwenye tabia za kitapeli
Makubwa! Staa wa sinema za Kibongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amedai
kwamba yeye ni ‘demu feki’ tena mwenye tabia za kitapeli huku kauli yake
hiyo ikiacha baadhi ya watu midomo wazi na kutaka kujua kulikoni.
“Kama mtu anataka kujua ufeki wangu anisikilizie maana kuna kitu nimefanya kitathibitisha hilo,” alisema Lulu.
CREDIT: GPL
Staa wa sinema za Kibongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’.
Akizungumza na Ijumaa Wikienda, wikiendi iliyopita, Lulu alisema kuwa
ni kweli yeye ni demu feki lakini kama watu wanataka kujua kwa nini
yeye ni feki na ana tabia za kitapeli wasubiri kujua kwa nini ameamua
kujiita hivyo.“Kama mtu anataka kujua ufeki wangu anisikilizie maana kuna kitu nimefanya kitathibitisha hilo,” alisema Lulu.
CREDIT: GPL
Post a Comment