BREAKING NEWS: MBUNGE WA ARUMERU MASHARIKI APATA AJALI YA CHOPA JIONI YA LEO
Muonekano wa Chopa hiyo baada ya kuanguka juu ya mti jioni ya leo katika Kijiji cha Leguruki, Wilayani Meru Jijini Arusha.
MBUNGE wa Jimbo la Arumeru Mashariki, Joshua Nassari
amepata ajali na Chopa baada ya kuanguka juu ya mti jioni ya leo katika
Kijiji cha Leguruki, Wilayani Meru Jijini Arusha. Hakuna aliepoteza
maisha katika ajali hiyo, na Mbunge Nassari pamoja na Rubani wake wako
Hospitali ya Seriani mkoani Arusha kwa matibabu baada ya kupata majeraha kwenye ajali hiyo.
(CHANZO: MICHUZI BLOG)

Post a Comment