AZAM YATINGA NUSU FAINALI KAGAME
Kiungo wa Yanga, Mbuyu Twite (kushoto) akiwania mpira na Shomari Kapombe wa Azam muda mfupi uliopita kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
AZAM FC imetinga nusu fainali ya Kombe la Kagame jioni hii kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam baada ya kuifunga Yanga kwa penalti 5-3. Aliyekosa penalti kwa upande wa Yanga ni beki wa kushoto, Haji Mwinyi.
Post a Comment