RAIS KIKWETE AONGOZA KIKAO CHA NEC-CCM MJINI DODOMA

Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya
Kikwete akiingia ukumbini kuendesha Kikao cha Halmashauri Kuu ya Taifa
ya CCM, mjini Dodoma jana. kulia ni Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman
Kinana.

Mwenyekiti wa CCM, Rais
Jakaya Kikwete akiwa na viongozi wa ngazi ya juu wa Chama baada ya
kuwasili ukumbini. Kushoto ni Makamu Mwenyekiti wa CCM, Rais wa
Zanzibar, Dk. Ali Mohammed Shein na kulia ni Makamu Mwenyekiti wa CCM
Bara, Philip Mangula na Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana.

Wajumbe wakiwa wamesimama kumlaki Kikwete alipoingia ukumbini kuendesha kikao hicho.

Mwenyekiti wa
CCM, Rais Jakaya Kikwete akiongoza kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM,
mjini Dodoma jana. Kulia ni Makamu Mwenyekiti wa CCM, Rais wa Zanzibar,
Dk. Ali Mohammed Shein, na kushoto ni Makamu Mwenyekiti wa CCM, Bara,
Philip Mangula na Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana.

Mwenyekiti
wa CCM, Rais Jakaya Kikwete akishauriana jambo na Katibu Mkuu wa CCM,
Abdulrahman Kinana kabla ya kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM kuanza
jana, mjini Dodoma.

Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete akiendelea kuongoza kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM, mjini Dodoma.
(Picha zote na Bashir Nkoromo)
Post a Comment